Breaking News

Thursday, December 22, 2016

Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Kituo cha Huduma za
Sheria Zanzibar Prof.Chris Maina Peter mwenye kanzu na kofia
katikati akiwa katika Dua ya kumuombea Muasisi wa Kituo cha
Huduma za Sheria Zanzibar Prof.Haroub Othman katika Makaburi
ya Familia yaliyopo Chuini nje kidogo ya mji wa Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

Designed By Published. Moonga Stephen