Breaking News

Monday, October 23, 2017

ZLSC YAFANYA TATHMINI YA MAFUNZO YA UTAYARISHAJI KATIBA NA SHERIA KWA VIJANA WA MABARAZA YA VIJANA YALIYOFANYIKA TAREHE 9 OKTOBA 2017

Afisa Ufuatiliaji na Tathmini Bw. Mohammed Kh. Mohammed akitoa ufafanuzi juu ya tathmini, katika  mkutano wa tathmini ya mafunzo ya elimu ya uraia kwa Vijana wa Mabaraza ya Vijana uliofanyika, ZLSC Kijangwani tarehe 09 Oktoba 2017

Mshiriki  katika mkutano wa tathmini  akielezea kwa washiriki wenziwe  mafanikio aliyoyapata baada ya mafunzo ya elimu ya uraia aliyopatiwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar 

No comments:

Post a Comment

Designed By Published. Moonga Stephen