Breaking News

Thursday, December 22, 2016

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar
Harusi M.Mpatani kushoto akimkabidhi Mkurugenzi wa Ustawi
wa Jamii Wahida Maabani sehemu ya msaada wa Kituo baada
ya Kituo kukutana na Wazee wa Sebleni kwa lengo la kula
 nao chakula pamoja na kuwapatia msaada wa vitu mbali
mbali kama sehemu ya Kumbukizi ya Marehem Prof.Haroub
Othman tarehe 02.Disemba 2016

No comments:

Post a Comment

Designed By Published. Moonga Stephen