Breaking News

Thursday, December 22, 2016

Mratibu wa Mafunzo ya Wasaidizi wa Sheria wa Kituo cha
Huduma za Sheria Zanzibar ofisi ya Pemba Safia Saleh
Sultan akizungumza na waandishi wa habari nje ya kumbi wa
Makonyo uliopo Wawi Chake Chake Pemba kuwatambulisha
waandishi dhumuni la Kituo kuendesha Mafunzo ya Wasaidizi
wa Sheria 

No comments:

Post a Comment

Designed By Published. Moonga Stephen