Breaking News

Thursday, December 22, 2016

Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ofisi ya Pemba kiliwate
mbelea wananchi wa Mkanyageni siku ya tarehe 13 Disemba
2016 kwa lengo la kuwapatia msaada wa kisheria katika Maa
dhimisho ya Siku ya Msaada wa Kisheria inayoadhimishwa kila
ifikapo tarehe 13 Disemba ya kila mwaka.

No comments:

Post a Comment

Designed By Published. Moonga Stephen