Breaking News

Monday, August 14, 2017

ZLSC YAENDELEA KUTOA MAFUNZO KWA VIJANA WA BARAZA LA VIJANA KWA MKOA WA KUSINI UNGUJA JUU YA ELIMU YA URAIA

Kaimu Mkurugenzi wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar,  Bi Saida Amour Abdalla, akifungua mafunzo  kwa Vijana wa Baraza la Vijana kwa Mkoa wa Kusini Unguja, yaliyofanyika katika ukumbi wa ZLSC,  Kijangwani mjini Unguja, tarehe 14 Agosti, 2017 

Read more ...

Friday, August 11, 2017

TATHMINI YA KUJADILI MPANGOKAZI WA KITUO WA MWAKA 2013/2017


 Wadhamini, Wafanya tathmini, Wajumbe wa Bodi wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar, wafanyakazi na wadau wengine, wakiwa katika kikao cha tathmin ya kujadili mpango kazi wa Kituo,  uliofanyika katika ukumbi wa Umoja wa Watu Wenye Ulemavu Zanzibar (UWZ) mjini Unguja tarehe  11 August 2017
Read more ...

Wednesday, August 9, 2017

ZLSC YATOA MAFUNZO KWA VIJANA WA BARAZA LA VIJANA KWA MKOA WA KASKAZINI UNGUJA JUU YA ELIMU YA URAIA YALIYOFANYIKA

KITUO cha Huduma za Sheria Zanzibar chatoa mafunzo ya elimu ya uraia kwa vijana wa  baraza la vijana kwa Mkoa wa Kaskazini,  Unguja.
Mfunzo hayo yalifanyika  katika ukumbi wa ZLSC Kijangwani tarehe 09 Agosti 2017   kwa lengo la kutoa uelewa wa elimu ya uraia kwa vijana.


Washiriki wakiwa katika mafunzo ya elimu ya uraia kwa vijana wa Baraza la vijana  kwa Mkoa wa Kaskazini Unguja  yaliyofanyika katika ukumbi wa ZLSC Kijangwani tarehe 09 Agosti 2017

Read more ...

MAFUNZO YA KUWATAMBULISHA WASAIDIZI WA SHERIA KWA WATUMISHI WA IDARA MAALUM (VIKOSI) SMZ


Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar kimefanya mafunzo ya kuwatambulisha Wasaidizi wa Sheria kwa Watumishi wa Idara maalum (Vikosi) vya SMZ. Mafunzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa ZLSC kijangwani Mjini Unguja tarehe  09 Agosti 2017 kwa lengo la kutoa uelewa wa sheria kwa  watumishi hao.

Akizungumza katika mafunzo hayo, mratibu  ambae ni Afisa Mipango wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar Bi Moza   Nzole aliwataka watumishi hao kufuata haki na sheria katika utendaji wao ili kuwafanya raia wawe na imani juu ya vikosi hivyo.


Washiriki wakiwa katika mafunzo ya kuwatambulisha Wasaidizi wa Sheria kwa watumishi wa Idara Maalu ( vikosi) SMZ yaliyofanyika  katika ukumbi wa ZLSC Kijangwani mjini Unguja tarehe 09 Agosti 2017 

Read more ...

Monday, August 7, 2017

MKUTANO WA NUSU MWAKA KWA WASAIDIZI WA SHERIA


Mratibu wa Mafunzo ya wasaidizi wa sheria  Bi  Moza Nzole akiwa katika Mkutano wa nusu mwaka kwa wasaidizi wa sheria kujadili matarajio, mwelekeo mapungufu pamoja na changamoto za mradi wa wasaidizi wa sheria Zanzibar uliofanyika tarehe 07 August 2017 katika ukumbi wa ZLSC Kijangwani mijini Unguja
Read more ...

MAFUNZO YA USHIRIKISHWAJI WANANCHI KATIKA UTAYARISHAJI WA KATIBA NA SHERIA


KITUO  cha Huduma za Sheria Zanzibar kimetoa
mafunzo kwa viongozi wa dini na watendaji wa
Serikali za Mitaa kuhusu Ushirikishwaji wananchi
katika utayarishaji Katiba na Sheria.

Mafunzo hayo yalifanyika Tarehe  07 Agosti 2017
katika ukumbi wa Kituo  Kijangwani mjini Unguja
kwa lengo la kuwajengea uwezo wa namna Sheria
na Katiba zinavotayarishwa


Mratibu wa mafunzo ambae ni Afisa Mipango wa
Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar Bw Ali Haji
Hassan akiwasilisha mada ya namna ya ushirikishwaji
wananchi katika utayarishaji Katiba na Sheria  katika
mafunzo yaliyofanyika  ZLSC Kijangwani
yaliyowajumuisha viongozi wa dini na watendaji wa
serikali za mitaa
Read more ...
Designed By Published. Moonga Stephen