Breaking News

Sunday, April 9, 2017

MAHAFALI YA NNE YA WASAIDIZI WA SHERIA YALIYOFANYIKA KATIKA UKUMBI WA KITUO CHA HUDUMA ZA SHERIA KIJANGWANI-ZANZIBAR TAREHE 08/09 APRILI 2017

Mhe Mgeni Rasmi ,Waziri wa Katiba na Sheria, Utumishi wa  Umma na Utawala Bora, Zanzibar . Haroun Ali Suleiman (katikati)  akifuatilia kwa makini  kikundi cha Sanaa cha Thesode  katika mahafali ya Nne ya Wasaidizi wa sheria yaliyofanyika Tarehe 09 Aprili 2017,  Katika Ukumbi wa Kituo Cha Huduma na Sheria -Kijangwani Zanzibar kulia ni Katibu wa Bodi ya Wadhamini Profesa Maina Peter akifuatiwa na Kaimu Mkurugenzi Bi Saida Amour, Kushoto ni Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi   
Wasanii wa ngoma za Kibati  wakitumbuiza katika mahafali ya nne ya Wasaidizi wa Sheria


Washiriki kutoka sehemu mbali mbali Ikiwemo , Kenya, Tanzania  Bara, Pemba na Unguja , waakiwemo na Wafanya kazi wa Kituo Cha Huduma za Sheria Zanzibar wakimsikiliza kwa makini Mgeni Rasmi( hayupo pichani) 

Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini Profesa Chris Maina Peter, akimkaribisha Mgeni Rasmi,  Waziri wa Katiba na Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Zanzibar Mhe Haroun Ali Suleiman katika Mahafali ya nne ya Wasaidizi wa Sheria . 

Read more ...
Designed By Published. Moonga Stephen