Breaking News

Thursday, December 22, 2016

Afisa Mipango wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar
Ofisi ya Pemba Khalfan Amour Mohammed akiwasilisha mada
juu ya jinsi ya kuunda ushirika na umuhimu wa kusajili vikundi vya
ushirika katika Mafunzo ya wanaushirika yaliyofanyika ofisi ndogo
ya Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ofisi ya Pemba.

No comments:

Post a Comment

Designed By Published. Moonga Stephen