Breaking News

Thursday, December 22, 2016

Kina mama wajasiriamali kutoka vikundi vya kina mama wa
kisiwa cha Pemba wakipatiwa Mafunzo ya Haki za Binadamu
na umuhimu wa kina mama hao kujiunga pamoja ili kujikomboa
na umasikini,Mafunzo hayo yaliandaliwa na Kituo cha Huduma
za Sheria Zanzibar ofisi ya Pemba.

No comments:

Post a Comment

Designed By Published. Moonga Stephen