Breaking News

Thursday, December 22, 2016

Mjumbe wa Bodi ya Wadhamini wa Kituo cha Huduma za Sheria
Zanzibar Josefrieda Pereira wa Pili kulia akikabidhi zawadi kwa
Mkurugenzi wa Ustawi wa Jamii wa tatu kulia Wahida Maabadi,
wanaoshuhudia wa mwanzo kulia ni Bi.Saida Mkuu wa Nyumba
ya kulelea watoto yatima Mazizini na wa mwanzo kushoto ni
Bi.Aisha Mkuu wa Nyumba salama Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

Designed By Published. Moonga Stephen