Breaking News

Thursday, December 22, 2016

Wasaidizi wa Sheria kutoka Pemba wakiwa wanapatiwa Mafunzo
ya utambuzi wa Sheria mpya zilizopitishwa na Baraza la
Wawakilishi la Zanzibar,Mafunzo hayo yalisimamiwa na Kituo
cha Huduma za Sheria Zanzibar ofisi ya Pemba kwa lengo la
kuwawezesha wasaidizi hao kuitoa elimu hiyo kwa wananchi wa
Majimbo ya Uchaguzi ya Pemba

No comments:

Post a Comment

Designed By Published. Moonga Stephen