Breaking News

Thursday, November 23, 2017

MAFUNZO YA KUWAKUMBUSHIA MRADI WA WATOTO WANAOKINZANA NA SHERIA KWA MAAFISA WA CHUO CHA MAFUNZO

Baadhi ya Maafisa Polisi  wa  Chuo cha Mafunzo, wakiwa katika mafunzo ya kukumbushwa juu ya Mradi wa Watoto Wanaokinzana na Sheria, yaliyoandaliwa   na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar

Read more ...

Friday, November 3, 2017

BALOZI WA UFARANSA AMETEMBELEA ZLSC

Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar kimetembelewa na Balozi wa Ufaransa Bi Malika BERAK kwa lengo la kutaka kujua shughuli mbali mbali zinazofanywa na Kituo.

Kaimu Mkurugenzi wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar Bi Saida Amour Abdalla, akimfafanulia Balozi wa Ufaransa Bi. Malika BERAK kazi za Kituo

Read more ...
Designed By Published. Moonga Stephen