Breaking News

Thursday, October 5, 2017

ZIARA YA WANAFUNZI WA SKULI YA SEKONDARI KWARARA KWA KITUO CHA HUDUMA ZA SHERIA ZANZIBAR

Mwanafunzi wa skuli ya Sekondari Kwarara akielezea  mafunzo aliyoyapata baada ya kuja kituoni katika ziara ya kukitembelea Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar, kilichopo Kijangwani mjini Unguja,  ziara hiyo ilifanyika tarehe 03 Oktoba 2017

No comments:

Post a Comment

Designed By Published. Moonga Stephen