Breaking News

Monday, October 23, 2017

KITUO CHA HUDUMA ZA SHERIA ZANZIBAR KILIFANYA MKUTANO WA KUANDAA MPANGO KAZI

Picha ya pamoja kati ya wajumbe wa bodi, wafanyakazi, washauri na wadau wengine wa ZLSC  katika kuandaa mpango kazi wa Kituo wa mwaka 2018/2022, uliofanyika  Z-Ocean Hoteli,  Bububu Meli nane kuanzia tarehe 14 hadi 16 Oktoba 2017  

Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa kuandaa mpango kazi wa Kituo wakimsikiliza kwa makini mshauri

No comments:

Post a Comment

Designed By Published. Moonga Stephen