Breaking News

Monday, October 23, 2017

MAADHIMISHO YA SIKU YA MTOTO WA KIKE

Mgeni Rasmi, Mkurugenzi Idara ya Elimu Sekondari Bi Asya Iddi Hassan ( katikati) akifuatilia igizo kuhusu udhalilishaji ,  lililogizwa na THESODE ,(hawapo pichani),  katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa kike yaliyofanyika ZLSC Kijangwani tarehe 11 Oktoba 2017 wa pili kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa ZLSC Bi. Saida Amour Abdalla akifuatiwa na  Mratibu Bi. Jamila Masoud,  wengine ni  Dokta Fatma wa Hospitali ya Mnazi Mmoja  na Bi. Sabra Msellem kutoka DPP 

Wanafunzi wa skuli mbali mbali za Unguja wakisikiliza  mada ya Ukatili wa Kijinsia na Athari za Mimba za Utotoni, iliyowasilishwa  na Dokta Fatma kutoka hospitali ya Mnazi Mmoja 

No comments:

Post a Comment

Designed By Published. Moonga Stephen