Breaking News

Wednesday, August 9, 2017

ZLSC YATOA MAFUNZO KWA VIJANA WA BARAZA LA VIJANA KWA MKOA WA KASKAZINI UNGUJA JUU YA ELIMU YA URAIA YALIYOFANYIKA

KITUO cha Huduma za Sheria Zanzibar chatoa mafunzo ya elimu ya uraia kwa vijana wa  baraza la vijana kwa Mkoa wa Kaskazini,  Unguja.
Mfunzo hayo yalifanyika  katika ukumbi wa ZLSC Kijangwani tarehe 09 Agosti 2017   kwa lengo la kutoa uelewa wa elimu ya uraia kwa vijana.


Washiriki wakiwa katika mafunzo ya elimu ya uraia kwa vijana wa Baraza la vijana  kwa Mkoa wa Kaskazini Unguja  yaliyofanyika katika ukumbi wa ZLSC Kijangwani tarehe 09 Agosti 2017

No comments:

Post a Comment

Designed By Published. Moonga Stephen