Breaking News

Monday, August 7, 2017

MAFUNZO YA USHIRIKISHWAJI WANANCHI KATIKA UTAYARISHAJI WA KATIBA NA SHERIA


KITUO  cha Huduma za Sheria Zanzibar kimetoa
mafunzo kwa viongozi wa dini na watendaji wa
Serikali za Mitaa kuhusu Ushirikishwaji wananchi
katika utayarishaji Katiba na Sheria.

Mafunzo hayo yalifanyika Tarehe  07 Agosti 2017
katika ukumbi wa Kituo  Kijangwani mjini Unguja
kwa lengo la kuwajengea uwezo wa namna Sheria
na Katiba zinavotayarishwa


Mratibu wa mafunzo ambae ni Afisa Mipango wa
Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar Bw Ali Haji
Hassan akiwasilisha mada ya namna ya ushirikishwaji
wananchi katika utayarishaji Katiba na Sheria  katika
mafunzo yaliyofanyika  ZLSC Kijangwani
yaliyowajumuisha viongozi wa dini na watendaji wa
serikali za mitaa

No comments:

Post a Comment

Designed By Published. Moonga Stephen