Breaking News

Monday, August 7, 2017

MKUTANO WA NUSU MWAKA KWA WASAIDIZI WA SHERIA


Mratibu wa Mafunzo ya wasaidizi wa sheria  Bi  Moza Nzole akiwa katika Mkutano wa nusu mwaka kwa wasaidizi wa sheria kujadili matarajio, mwelekeo mapungufu pamoja na changamoto za mradi wa wasaidizi wa sheria Zanzibar uliofanyika tarehe 07 August 2017 katika ukumbi wa ZLSC Kijangwani mijini Unguja

No comments:

Post a Comment

Designed By Published. Moonga Stephen