Breaking News

Monday, May 14, 2018

ZLSC YAFANYA MJADALA JUU YA KUMALIZIKA KWA MRADI WA WATOTO WANAOKINZANA NA SHERIA

Wakili wa watoto kutoka Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar Bw. Thabit Abdulla Juma, akitoa ufafanuzi juu ya mradi wa watoto wanaokinzana na Sheria  kwa Askari Dawati walioshiriki mjadala huo, uliyofanyika  katika ukumbi wa ZLSC Kijangwani,  tarehe 10 Mei 2018
 Mshiriki akichangia katika mjadala huo uliyofanyika ZLSC Kijangwani, tarehe 10 Mei 2018
 Mshiriki akichangia katika mjadala huo uliyofanyika ZLSC Kijangwani, tarehe 10 Mei 2018
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar, Bi Harusi Miraji Mpatani, akifungua mjadala  kuhusu hatma ya Mradi wa Watoto wanaokinzana na Sheria  kwa Mahakimu na Waendesha Mashtaka, uliyofanyika Mazsons Hoteli  Shangani Unguja, tarehe 11Mei 2018
Mahakimu na Waendesha Mashtaka wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji, Bi. Harusi Miraji Mpatani (kati kati) akifungua mjadala  kuhusu hatma ya Mradi wa Watoto wanaokinzana na Sheria,  uliyofanyika Mazsons Hoteli  Shangani Unguja, tarehe 11Mei 2018

No comments:

Post a Comment

Designed By Published. Moonga Stephen