Breaking News

Wednesday, September 13, 2017

MAFUNZO KWA MASHEHA NA DIWANI WA WILAYA YA KATI

Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar kimeandaa mafunzo kwa Masheha wa Wilaya ya Kati  yaliyofanyika  katika Ukumbi wa ZLSC Kijangwani mjini Unguja, tarehe 13 Septemba 2017
Lengo la mafunzo hayo ni kuwatambulisha Wasaidizi wa Sheria kwa Masheha na kuwataka  Masheha,  kuwatumia Wasaidizi wa Sheria na   kushirikiana nao katika kutetea  na kuzilinda haki za binadamu.

Kaimu Mkurugenzi wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar,  Bi.Saida Amour Abdallah akifungua mafunzo  kwa Masheha  wa Wilaya ya Kati Unguja, yaliyofanyika tarehe 13 Septemba 2017  Kijangwani mjini Unguja

Afisa Mipango wa ZLSC Bi Moza Kawambwa Nzole akiwasilisha mada ya dhana ya Wasaidizi wa Sheria  kwa washiriki wa mafunzo  kwa  Masheha wa Wilaya ya kati

No comments:

Post a Comment

Designed By Published. Moonga Stephen