Breaking News

Thursday, June 15, 2017

KITUO CHA HUDUMA ZA SHERIA ZANZIBAR CHAFANYA UZINDUZI WA RIPOTI YA 11 YA HAKI ZA BINADAMU

Mgeni Rasmi Mhe. Mshibe Ali Bakari  wa pili kulia  akiwa katika uzinduzi wa Ripoti ya 11 ya Haki za Binadamu iliyofanyika katika Ukumbi wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar  tarehe 15/06/2017. 

Mgeni Rasmi Mhe. Mshibe Ali Bakari akiwa na wajumbe wa Bodi ya Wadhamini wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar DPP na  Kaimu Mkurugenzi wakionesha kitabu kilichozinduliwa.

 Mgeni rasmi Mhe. Mshibe Ali Bakari akiwa katika picha ya pamoja na  Wajumbe wa Bodi , DPP , Kaimu Mkurugenzi na baadhi ya Wafanyakazi wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar baada ya uzinduzi kukamilika.

No comments:

Post a Comment

Designed By Published. Moonga Stephen