Breaking News

Saturday, March 11, 2017

MAFUNZO YA HAKI ZA BINAADAMU KWA WAANDISHI WA HABARI YALIYOFANYIKA KATIKA UKUMBI WA MIKUTANO WA ZLSC KIJANGWANI ZANZIBAR TAREHE 11\03\2017


 Baadhi ya Waandishi wa habari wakiwa katika ukumbi wa
ZLSC  kusubiria mafunzo ya Haki Za Binaadamu..

Afisa Mipango  Thabit Abdullah kutoka Kituo cha Huduma za
Sheria Zanzibar (ZLSC)   akiwasilisha mada ya Haki za
Binaadamu na nafasi ya Waandishi wa habari kwa jamii. 
Mwanasheria   Rashid Abdallah akiwasilisha mada ya
Madhara ya Rushwa katika usimamizi wa Haki za Binaadamu.


Mshauri wa vyombo vya Habari  Salim Said Salim akiwasilisha
 mada  kuhusu kanuni, miiko na maadili ya Waandishi wa
Habari Kitaifa na Kimataifa.

Waandishi wa Habari wakisikiliza kwa makini mada
zinazowasilishwa katika mafunzo hayo.

No comments:

Post a Comment

Designed By Published. Moonga Stephen